Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 16:14-15

Matendo 16:14-15 NEN

Mmoja wa wale wanawake waliotusikiliza aliitwa Lidia, mfanyabiashara wa nguo za zambarau, mwenyeji wa mji wa Thiatira, aliyekuwa mcha Mungu. Bwana akaufungua moyo wake akaupokea ujumbe wa Paulo. Basi alipokwisha kubatizwa yeye na watu wa nyumba yake, alitukaribisha nyumbani kwake akisema, “Kama mmeona kweli mimi nimemwamini Bwana, karibuni mkae nyumbani mwangu.” Naye akatushawishi.

Video for Matendo 16:14-15

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 16:14-15