Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 13:2-3

Matendo 13:2-3 SRUV

Basi hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi ile niliyowaitia. Ndipo wakiisha kufunga na kuomba, wakaweka mikono yao juu yao, wakawaacha waende zao.

Soma Matendo 13

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 13:2-3