Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Timotheo 1:15-18

2 Timotheo 1:15-18 SRUV

Waijua habari hii, ya kuwa wote walio wa Asia waliniepuka, ambao miongoni mwao wamo Figelo na Hermogene. Bwana awape rehema wale walio wa jamaa wa Onesiforo; maana mara nyingi aliniburudisha, wala hakuuonea haya mnyororo wangu; bali, alipokuwapo hapa Rumi, alinitafuta kwa bidii na kunipata. Bwana na amjalie ili kwamba apate rehema machoni pa Bwana siku ile. Na jinsi alivyonihudumia kwa mengi huko Efeso, wewe unajua sana.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Timotheo 1:15-18