Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 1:18-20

2 Wakorintho 1:18-20 SRUV

Lakini kama Mungu alivyo mwaminifu, neno letu kwenu si Ndiyo na Siyo. Maana Mwana wa Mungu, Kristo Yesu, aliyehubiriwa katikati yenu na sisi, yaani, mimi na Silwano na Timotheo, hakuwa Ndiyo na Siyo; bali katika yeye ni Ndiyo. Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena kwa hiyo katika yeye ni Amin; Mungu apate kutukuzwa kwa sisi.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wakorintho 1:18-20