Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 18:2-3

Mathayo 18:2-3 SRUVDC

Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao, akasema, Amin, nawaambia, Msipoongoka na kuwa kama watoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

Soma Mathayo 18

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 18:2-3