Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 8:21-22

Mwanzo 8:21-22 SRUVDC

BWANA akasikia harufu ya kumridhisha; BWANA akasema moyoni, Sitailaani nchi tena baada ya hayo kwa sababu ya wanadamu, maana mawazo ya moyo wa mwanadamu ni mabaya tangu ujana wake; wala sitapiga tena baada ya hayo kila kilicho hai kama nilivyofanya. 1 Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa joto, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.

Soma Mwanzo 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 8:21-22