Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 35:11-12

Mwanzo 35:11-12 SRUVDC

Mungu akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uzidi ukaongezeke. Taifa na kundi la mataifa watatoka kwako, na wafalme watatoka katika uzao wako. Na nchi hii niliyowapa Abrahamu na Isaka nitakupa wewe, na uzao wako baada yako nitawapa nchi hiyo.

Soma Mwanzo 35