Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 40:4-5

Zab 40:4-5 SUV

Heri aliyemfanya BWANA kuwa tumaini lake, Wala hakuwaelekea wenye kiburi, Wala hao wanaogeukia uongo. Ee BWANA, Mungu wangu, umefanya kwa wingi Miujiza yako na mawazo yako kwetu; Hakuna awezaye kufananishwa nawe; Kama ningependa kuyatangaza na kuyahubiri, Ni mengi sana hayahesabiki.

Soma Zab 40

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 40:4-5