Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 119:5-8

Zab 119:5-8 SUV

Ningependa njia zangu ziwe thabiti, Nizitii amri zako. Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote. Nitakushukuru kwa unyofu wa moyo, Nikiisha kujifunza hukumu za haki yako Nitazitii amri zako, Usiniache kabisa

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 119:5-8