Zab 119:134-136
Zab 119:134-136 SUV
Unikomboe na dhuluma ya mwanadamu, Nipate kuyashika mausia yako. Umwangazie mtumishi wako uso wako, Na kunifundisha amri zako. Macho yangu yachuruzika mito ya maji, Kwa sababu hawaitii sheria yako.
Unikomboe na dhuluma ya mwanadamu, Nipate kuyashika mausia yako. Umwangazie mtumishi wako uso wako, Na kunifundisha amri zako. Macho yangu yachuruzika mito ya maji, Kwa sababu hawaitii sheria yako.