Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mk 13:35-37

Mk 13:35-37 SUV

Kesheni basi, kwa maana hamjui ajapo bwana wa nyumba, kwamba ni jioni, au kwamba ni usiku wa manane, au awikapo jimbi, au asubuhi; asije akawasili ghafula akawakuta mmelala. Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia wote, Kesheni.

Soma Mk 13

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mk 13:35-37