Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Lk 23:55-56

Lk 23:55-56 SUV

Na wale wanawake waliokuja naye toka Galilaya walifuata, wakaliona kaburi, na jinsi mwili wake ulivyowekwa. Wakarudi, wakafanya tayari manukato na marhamu. Na siku ya sabato walistarehe kama ilivyoamriwa.

Soma Lk 23