Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yer 7:5-7

Yer 7:5-7 SUV

Maana kama mkitengeneza kabisa njia zenu na matendo yenu; kama mkihukumu hukumu ya haki kati ya mtu na jirani yake; kama hamwonei mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, wala kuifuata miungu mingine kwa hasara yenu wenyewe; ndipo nitakapowakalisha mahali hapa, katika nchi hii niliyowapa baba zenu, tokea zamani hata milele.

Soma Yer 7

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yer 7:5-7