Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Efe 2:4-5

Efe 2:4-5 SUV

Lakini Mungu, kwa kuwa ni mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda; hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alituhuisha pamoja na Kristo; yaani, tumeokolewa kwa neema.

Soma Efe 2