Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhu 2:17-18

Mhu 2:17-18 SUV

Basi, nikauchukia uhai; kwa sababu kazi inayotendeka chini ya jua ilikuwa mbaya kwangu; yaani, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo. Nami nikaichukia kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo chini ya jua; maana sina budi kumwachia yeye atakayenifuata.

Soma Mhu 2