1 Sam 8:19-21
1 Sam 8:19-21 SUV
Walakini hao watu wakakataa kuisikiliza sauti ya Samweli; wakasema, Sivyo hivyo; lakini tunataka kuwa na mfalme juu yetu; ili sisi nasi tufanane na mataifa yote; tena ili mfalme wetu atuamue, tena atoke mbele yetu na kutupigia vita vyetu. Samweli akayasikia maneno yote ya watu, akayanena masikioni mwa BWANA.