Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Fal 19:19-20

1 Fal 19:19-20 SUV

Basi, akaondoka huko, akamkuta Elisha mwana wa Shafati, aliyekuwa akilima, mwenye jozi za ng’ombe kumi na mbili mbele yake, na yeye mwenyewe alikuwa pamoja na lile la kumi na mbili. Eliya akapita karibu naye, akatupa vazi lake juu yake. Naye akawaacha ng’ombe, akamfuata Eliya mbio, akasema, Nipe ruhusa, nakuomba, nimbusu baba yangu na mama yangu, kisha mimi nitakufuata. Akamwambia, Enenda, urudi; ni nini niliyokutendea?

Soma 1 Fal 19

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Fal 19:19-20