Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Yoh 3:22-24

1 Yoh 3:22-24 SUV

na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake. Na hii ndiyo amri yake, kwamba tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi, kama alivyotupa amri. Naye azishikaye amri zake hukaa ndani yake yeye naye ndani yake. Na katika hili tunajua ya kuwa anakaa ndani yetu, kwa huyo Roho aliyetupa.

Soma 1 Yoh 3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Yoh 3:22-24