Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Kor 2:13-14

1 Kor 2:13-14 SUV

Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni. Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.

Soma 1 Kor 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Kor 2:13-14