Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 5:1-2

Warumi 5:1-2 NEN

Kwa hiyo, kwa kuwa tumekwisha kuhesabiwa haki kwa imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa kupitia kwake tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo ndani yake sasa tunasimama, nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 5:1-2