Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 3:3-5

Warumi 3:3-5 NEN

Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu? La hasha! Mungu na aonekane mwenye haki, na kila mwanadamu kuwa mwongo, kama ilivyoandikwa: “Ili uthibitike kuwa wa kweli unaponena, na ukashinde utoapo hukumu.” Ikiwa uovu wetu unathibitisha haki ya Mungu waziwazi, tuseme nini basi? Je, Mungu kuileta ghadhabu yake juu yetu ni kwamba yeye si mwenye haki? (Nanena kibinadamu.)

Video for Warumi 3:3-5

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 3:3-5