Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 3:25-26

Warumi 3:25-26 NEN

Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabihu ya upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake. Alifanya hivi ili kuonyesha haki yake, kwa sababu kwa ustahimili wake aliziachilia zile dhambi zilizotangulia kufanywa. Alifanya hivyo ili kuonyesha haki yake wakati huu, ili yeye awe mwenye haki na mwenye kumhesabia haki yule anayemwamini Yesu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 3:25-26