Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 81:10-12

Zaburi 81:10-12 NEN

Mimi ni BWANA Mungu wako, niliyekutoa nchi ya Misri. Panua sana kinywa chako nami nitakijaza. “Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza; Israeli hakutaka kunitii. Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe.