Nilisema, “Ee BWANA nihurumie, niponye, maana nimekutenda dhambi wewe.” Adui zangu wanasema kwa hila, “Lini atakufa, na jina lake litokomee kabisa.” Kila anapokuja mtu kunitazama, huzungumza uongo, huku moyo wake hukusanya masingizio; kisha huondoka na kuyasambaza huku na huko.
Soma Zaburi 41
Sikiliza Zaburi 41
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Zaburi 41:4-6
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video