Zaburi 28:1
Zaburi 28:1 NEN
Ninakuita wewe, Ee BWANA, Mwamba wangu; usiwe kwangu kama kiziwi. Kwa sababu ukinyamaza nitafanana na walioshuka shimoni.
Ninakuita wewe, Ee BWANA, Mwamba wangu; usiwe kwangu kama kiziwi. Kwa sababu ukinyamaza nitafanana na walioshuka shimoni.