Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 18:32-34

Zaburi 18:32-34 NEN

Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu. Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu. Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 18:32-34