Zaburi 119:70-72
Zaburi 119:70-72 NEN
Mioyo yao ni katili na migumu, bali mimi napendezwa na sheria yako. Ilikuwa vyema mimi kupata shida ili nipate kujifunza maagizo yako. Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani kubwa kwangu kuliko maelfu ya vipande vya fedha na dhahabu.