Zaburi 119:20-21
Zaburi 119:20-21 NEN
Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa juu ya sheria zako wakati wote. Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa waendao mbali na amri zako.
Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa juu ya sheria zako wakati wote. Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa waendao mbali na amri zako.