Zaburi 119:134-136
Zaburi 119:134-136 NEN
Niokoe na uonevu wa wanadamu, ili niweze kutii mausia yako. Mwangazie mtumishi wako uso wako na unifundishe amri zako. Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu, kwa kuwa sheria yako haifuatwi.
Niokoe na uonevu wa wanadamu, ili niweze kutii mausia yako. Mwangazie mtumishi wako uso wako na unifundishe amri zako. Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu, kwa kuwa sheria yako haifuatwi.