Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 13:1-3

Hesabu 13:1-3 NEN

BWANA akamwambia Mose, “Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ambayo ninawapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mmoja wa viongozi wao.” Hivyo kwa agizo la BWANA Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha