Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 10:6-9

Marko 10:6-9 NEN

Lakini tangu mwanzo wa uumbaji, ‘Mungu aliwaumba mwanaume na mwanamke. Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.’ Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 10:6-9