Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 9:14-15

Mathayo 9:14-15 NEN

Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji wakaja na kumuuliza Yesu, “Imekuwaje kwamba sisi na Mafarisayo tunafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?” Yesu akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kuomboleza wakati angali pamoja nao? Wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Hapo ndipo watakapofunga.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 9:14-15