Mathayo 13:57-58
Mathayo 13:57-58 NENO
Wakachukizwa naye. Lakini Isa akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani mwake.” Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Wakachukizwa naye. Lakini Isa akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani mwake.” Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.