Malaki 3:6-7
Malaki 3:6-7 NEN
“Mimi BWANA sibadiliki. Kwa hiyo ninyi, enyi uzao wa Yakobo, hamjaangamizwa. Tangu wakati wa baba zenu mmegeukia mbali na amri zangu nanyi hamkuzishika. Nirudieni mimi, nami nitawarudia ninyi,” asema BWANA Mwenye Nguvu Zote. “Lakini mnauliza, ‘Tutarudi kwa namna gani?’