Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 14:13-14

Luka 14:13-14 NEN

Bali ufanyapo karamu, waalike maskini, vilema na vipofu, nawe utabarikiwa kwa sababu hawa hawana uwezo wa kukulipa. Mungu atakulipa wakati wa ufufuo wa wenye haki.”