Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoshua 1:6-7

Yoshua 1:6-7 NEN

“Uwe hodari na shujaa, kwa sababu wewe ndiwe utakayewaongoza watu hawa kuirithi nchi niliyowaapia baba zao kuwapa. Uwe hodari na uwe na ushujaa mwingi. Uwe na bidii kutii sheria yote aliyokupa Mose mtumishi wangu, usiiache kwa kugeuka kuelekea kuume au kushoto, ili upate kufanikiwa popote uendako.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yoshua 1:6-7