Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 11:13-15

Ayubu 11:13-15 NEN

“Hata sasa ukiutoa moyo wako kwake na kumwinulia mikono yako, ukiiondolea mbali ile dhambi iliyo mkononi mwako wala usiuruhusu uovu ukae hemani mwako, ndipo utainua uso wako bila aibu; utasimama imara bila hofu.