Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 17:7-8

Yeremia 17:7-8 NEN

“Lakini amebarikiwa mtu ambaye tumaini lake ni katika BWANA, ambaye matumaini yake ni katika BWANA. Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji uenezao mizizi yake karibu na kijito cha maji. Hauogopi wakati wa joto ujapo; majani yake ni mabichi daima. Hauna hofu katika mwaka wa ukame na hautaacha kuzaa matunda.”

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha