Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waamuzi 7:5-6

Waamuzi 7:5-6 NEN

Hivyo Gideoni akalileta lile jeshi chini kwenye maji naye BWANA akamwambia Gideoni, “Watenge upande mmoja wale wote wanywao maji kwa ulimi, kama vile mbwa anywavyo, wale wote wapigao magoti ili kunywa wakipeleka mikono yao vinywani mwao, waweke upande mwingine.” Idadi ya wale waliokunywa kwa kuramba ramba walikuwa 300, lakini wengine wote katika jeshi walipiga magoti ili kunywa.