Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 57:18-19

Isaya 57:18-19 NEN

Nimeziona njia zake, lakini nitamponya, nitamwongoza na kumrudishia upya faraja, nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji katika Israeli. Amani, amani, kwa wale walio mbali na kwa wale walio karibu,” asema BWANA. “Nami nitawaponya.”