Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 39:11-12

Mwanzo 39:11-12 NEN

Siku moja Yosefu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi zake, wala hapakuwepo na mfanyakazi yeyote ndani ya nyumba. Mke wa Potifa akashika vazi Yosefu alilokuwa amevaa, akamwambia, “Njoo tukutane kimwili!” Lakini Yosefu akaacha vazi lake mkononi mwa huyo mwanamke, akatoka nje ya nyumba akikimbia.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 39:11-12