Farasi wa Farao, magari yake ya vita na wapanda farasi wake walipoingia baharini, BWANA aliyarudisha maji ya bahari yakawafunika, lakini wana wa Israeli walipita baharini mahali pakavu. Kisha Miriamu yule nabii mke, ndugu yake Aroni, akachukua matari mkononi mwake na wanawake wote wakamfuata na matari yao wakicheza. Miriamu akawaimbia: “Mwimbieni BWANA, kwa maana ametukuka sana. Farasi na mpanda farasi amewatosa baharini.”
Soma Kutoka 15
Sikiliza Kutoka 15
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Kutoka 15:19-21
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video