Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 12:31-32

Kutoka 12:31-32 NEN

Wakati huo Farao akawaita Mose na Aroni na kuwaambia, “Ondokeni! Tokeni kwa watu wangu, ninyi pamoja na Waisraeli! Nendeni mkamwabudu BWANA kama mlivyoomba. Chukueni makundi yenu ya kondoo na mbuzi pamoja na ngʼombe, kama mlivyosema, nanyi mwende zenu. Nanyi pia mnibariki.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 12:31-32