Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Esta 9:1

Esta 9:1 NEN

Katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari, amri iliyoagizwa na mfalme ilikuwa itekelezwe. Siku hii adui wa Wayahudi walikuwa wametumaini kuwashinda, lakini sasa mambo yaliwageukia na Wayahudi wakawashinda wale waliokuwa wanawachukia.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Esta 9:1