Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 1:11-12

Waefeso 1:11-12 NEN

Katika Kristo sisi nasi tumepata urithi, tukisha kuchaguliwa sawasawa na kusudi la Mungu, yeye ambaye hufanya mambo yote kulingana na kusudi la mapenzi yake, ili kwamba, sisi tuliokuwa wa kwanza kuweka tumaini katika Kristo, tupate kuishi kwa sifa ya utukufu wake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waefeso 1:11-12