Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 12:1-2

Mhubiri 12:1-2 NEN

Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, kabla hazijaja siku za taabu, wala haijakaribia miaka utakaposema, “Mimi sifurahii hiyo”: kabla jua na nuru, nao mwezi na nyota havijatiwa giza, kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mhubiri 12:1-2