Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 11:5

Mhubiri 11:5 NEN

Kama vile usivyofahamu njia ya upepo, au jinsi mwili uumbwavyo ndani ya tumbo la mama, vivyo hivyo huwezi kufahamu kazi ya Mungu, Muumba wa vitu vyote.