Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 6:15

Danieli 6:15 NENO

Ndipo wale watu wakamwendea mfalme kama kikundi na kumwambia, “Ee mfalme, kumbuka kwamba kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi, hakuna amri wala sheria ambayo mfalme ameitoa inayoweza kubadilishwa.”