Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 2:31-32

Danieli 2:31-32 NEN

“Ee mfalme, ulitazama, na mbele yako ilisimama sanamu kubwa, kubwa mno kupita kiasi, sanamu iliyongʼaa na kutisha kwa kuonekana kwake. Kichwa cha ile sanamu kilikuwa kimetengenezwa kwa dhahabu safi, kifua chake na mikono yake vilikuwa vya fedha, tumbo lake na mapaja yake vilikuwa vya shaba

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Danieli 2:31-32