Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 3:5-6

Wakolosai 3:5-6 NEN

Kwa hiyo, ueni kabisa chochote kilicho ndani yenu cha asili ya kidunia: yaani uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na ulafi, ambayo ndiyo ibada ya sanamu. Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wakolosai 3:5-6